Wakati bei ya hisa za Facebook ikiendelea kupanda chati kila siku, Mkurugenzi mtendaji na mwanzishi wa mtandao wa Facebook Mark Zuckerberg, sasa amempita Warren Buffett kwa kuwa mtu tajiri zaidi wa tatu duniani. Kwa mujibu wa ripoti kutoka tovuti ya Bloomberg, utajiri wa Mark Zuckerberg sasa unakadiriwa kuwa ni dollar za marekani bilioni $81.6 sawa na Shilingi za […] More
Soma Zaidi Hapa : Mark Zuckerberg Sasa ni Mtu Tajiri Zaidi wa Tatu Duniani