Pamoja na kusemekana kuwepo kwa ujio wa simu yenye kamera tisa, Kwa sasa simu zilizopo sokoni zenye kamera kubwa zaidi ni simu za Huawei Porsche Mate RS pamoja na Huawei P20 Pro ambazo zinakuja na kamera zenye uwezo wa Megapixel 40. Wakati kampuni ya Huawei ikiwa imekaa kwa muda mchache kwenye rekodi hiyo, Hivi karibuni Kampuni […] More
Soma Zaidi Hapa : Sony Xperia XZ3 Simu ya Kwanza Kuja na Kamera ya MegaPixel 48