Hivi karibuni kampuni ya Infinix imezindua simu mpya ya Infinix Note 5, simu hii ni moja kati ya simu nzuri sana kutoka kampuni ya Infinx na ni moja kati ya simu yenye maboresho makubwa ukitofautisha na simu ya Infinix Note 4 ya mwaka jana 2017. Kupitia Tanzania Tech leo nimepata nafasi ya kuweza kuiona kwa […] More
Soma Zaidi Hapa : Video : Muonekano wa Simu Mpya ya Infinix Note 5