Ni kweli kwamba soko la simu janja (smartphone) linazidi kuwa gumu sana kadri siku zinavyokwenda, pengine hii inatokana na kuwepo kwa kampuni nyingi zinazo chipukia kama OnePlus na nyingine ambazo ukweli zinakuja kwa kasi sana. Sasa kwa upande wa makampuni haya makubwa njia pekee iliyobaki ili kuongeza mauzo ni kupitia ubunifu na utani wa jadi. […] More
Soma Zaidi Hapa : Video : Utani Kati ya Samsung na Apple Bado Unaendelea..