Katika harakati za kupambana na habari za uongo au habari za kuzusha, WhatsApp imekuja na njia mpya ambayo inaweza kuonyesha kama meseji inayosambaa ni ya uzushi. Kupitia blog yake WhatsApp imeandika kuwa hivi karibuni watumiaji wa programu hiyo wataweza kuona kama meseji wanazopokea zimetoka kwa mtu mwingine, yaani kama meseji hiyo ime fowadiwa (forward) kutoka kwa […] More
Soma Zaidi Hapa : WhatsApp Imeanza Rasmi Kupambana na Habari za Kuzusha