Mwezi wa tano mwaka huu 2018, Facebook kupitia mkutano wake wa F8 ilitangaza ujio sehemu ya Group Call, sehemu hiyo tayari imesha fika kwenye programu za WhatsApp na hivi leo WhatsApp kupitia blog yake imetangaza kuwa sasa utaweza kuwapigia simu za video hadi marafiki zako wanne kwa pamoja. Mbali na hayo vilevile mtumiaji wa programu […] More
Soma Zaidi Hapa : WhatsApp Yawezesha Group Call Hadi Watu 4 kwa Pamoja