Mtandao wa instagram bado unaendela kufanyiwa maboresho mbalimbali kupitia app zake za Android na iOS. Moja ya maboresho ambayo Tanzania Tech tumegundua hivi karibuni ni pamoja na sehemu mpya ya Emoji pamoja na picha zinazopotea baada ya kuziangalia kwenye DM (Direct Message). Tukianza na sehemu hiyo mpya ya Emoji, Instagram inafanya majaribio ya kuweka mtari […] More
Soma Zaidi Hapa : Haya Hapa Maboresho Mapya Kwenye App za Instagram