Moja kati ya swali ambalo mara nyingi nimekuwa nikikutana nalo ni kuhusu simu bora kati ya Tecno na Infinix, kama wote tunanvyojua simu zote hizi zinazotoka kwenye makapuni ambayo yanafanana, pia simu hizi zinakuja zikiwa zinauzwa kwa bei nafuu na pia zinatumiwa sana hapa Afrika pengine kuliko sehemu nyingine duniani. Sasa Jumatatu ya leo nimeona […] More
Soma Zaidi Hapa : Je ni Simu Gani Nzuri Kuwa Nayo Kati ya Tecno na Infinix