Jumatano, 1 Agosti 2018

Ripoti : Huawei Yauza Simu Nyingi Kuliko Kampuni ya Apple

kampuni ya Huawei

Kampuni ya Huawei imetangazwa kuwa imeuza nakala nyingi za simu kwenye nusu ya pili ya mwaka 2018 kuliko kampuni ya Apple. Kwa mujibu wa ripoti kutoka IDC kampuni ya Huawei imeuza nakala zaidi ya milioni 54 ukilinganisha na kampuni ya Apple ambayo yenyewe imesafirisha nakala milioni 41.3 kwenye nusu ya pili ya mwaka huu 2018. […] More

Soma Zaidi Hapa : Ripoti : Huawei Yauza Simu Nyingi Kuliko Kampuni ya Apple