Alhamisi, 23 Agosti 2018

Twitter Yafanya Mabadiliko ya Sehemu ya Direct Message (DM)

sehemu mpya ya Twitter

Mtandao wa Twitter unaendelea kufanya maboresho mapya kila siku, Hivi karibuni Twitter ilifanya mabadiliko ya sheria zake ambapo sasa watumiaji wanapaswa kuwa na akaunti ambazo ziko hai huku umakini zaidi ukihitajika kwa wale wenye akaunti zaidi ya moja. Mbali na sheria hizo, Twitter hivi karibuni pia imeondoa akaunti feki zaidi ya milioni pamoja na akaunti […] More

Soma Zaidi Hapa : Twitter Yafanya Mabadiliko ya Sehemu ya Direct Message (DM)