Kampuni ya Uber ambayo inaongoza kwa kutoa huduma za usafirishaji wa abiria kwa njia ya kisasa, hivi karibuni imetangaza kuwa inajiandaa kuja na huduma mpya ya Uberboat ambayo kwa hatua ya awali itawasaidia wakazi wa jiji la Dar es salaam pamoja na Zanzibar. Akiongea kwenye tamasha la uzinduzi wa huduma hiyo jana uliohusisha watu mbalimbali […] More
Soma Zaidi Hapa : Uber Kuja na Huduma ya Uberboat Dar es Salaam na Zanzibar