Jumanne, 14 Agosti 2018

Wanafunzi Waunda Mtambo wa Kunasa Matumizi ya Simu Shuleni

simu shuleni

Boris Massesa na Adam Rueben ni wanafunzi wengine wabunifu wa kidato cha sita katika Shule ya Sekondari Ilboru mkoani Arusha. Wanafunzi hawa wamekuja na ubunifu mpya ambao utafanya matumizi ya simu kwenye maeneo yasiyotakiwa kuweza kukoma. Kwa kuanza mtambo huu uliobuniwa na wanafunzi hao utakuwa na lengo moja kubwa la kunasa mawasiliano ya simu ya wanafunzi […] More

Soma Zaidi Hapa : Wanafunzi Waunda Mtambo wa Kunasa Matumizi ya Simu Shuleni