Hivi karibuni kampuni ya Xiaomi ilitangaza kuzindua brand yake mpya ya simu ambayo itakuwa inaitwa pocophone. Hivi leo huko nchini india kampuni hiyo imefanikisha hayo kwa kuja na simu ya kwanza ambayo inatoka na jina hilo ambayo itakuwa inaitwa Poco F1. Simu hii mpya kama zilivyo simu kutoka kampuni ya Xiaomi inakuja na muonekano mzuri […] More
Soma Zaidi Hapa : Xiaomi Yazindua Simu Mpya ya Poco F1 (Pocophone F1)