Jumatano, 15 Agosti 2018

Zambia Yaja na Kodi Mpya Kupiga Simu Kwa Kutumia Internet

kodi ya simu za internet zambia

Kama ulikuwa unadhani Uganda pekee ndio imefikiria kuleta kodi kwenye mitandao ya kijamii basi unakosea, Hivi karibuni huko nchini Zambia, Serikali ya nchini humo imetangaza kuleta sheria mpya ambayo itawataka watumiaji wote wa huduma za kupiga simu kwa kutumia Internet kama vile WhatsApp Call, Skype na nyingine kama hizo kuhakikisha wanalipa kodi kwa kutumia huduma […] More

Soma Zaidi Hapa : Zambia Yaja na Kodi Mpya Kupiga Simu Kwa Kutumia Internet