Hapo asubuhi ya jana, kampuni ya Facebook kupitia ukurasa wake wa habari ilichapisha taarifa juu ya udukuwaji uliofanyika siku za karibuni. Kupitia habari hiyo Facebook imeandika kuwa imegundua tatizo kwenye mtandao huo ambalo limeletwa na mdukuaji au wadukuaji ambapo akaunti zaidi ya milioni 50 zinaweza zikawa zimeadhiriwa. Kwa mujibu wa Facebook kupitia udukuaji huo ulifanyika […] More
Soma Zaidi Hapa : Mtandao wa Facebook Wadukuliwa Tena na Akaunti Milioni 50