Jumanne, 4 Septemba 2018

Samsung Kuzindua Simu Inayo Jikunja Mwaka Huu (2018)

simu inayo jikunja

Kampuni ya Samsung imekuwa ikifanya majaribio mbalimbali ya simu inayo jikunja au (foldable smartphone) tokea mwaka 2012. Hivi karibuni mkurugenzi mtendaji wa kampuni hiyo DJ Koh, ambaye alikuwa akihojiwa na kituo cha utangazaji cha CNBC, alisema kuwa simu ya kwanza ya mtindo huo inaweza kuzinduliwa rasmi kupitia mkutano wa wabunifu unaojulikana kama Samsung developer conference ambao hufanyika […] More

Soma Zaidi Hapa : Samsung Kuzindua Simu Inayo Jikunja Mwaka Huu (2018)