Jumanne, 25 Septemba 2018

Waanzilishi wa Mtandao wa Instagram Waachana na Facebook

waanzilishi wa mtandao wa Instagram

Mtandao wa Instagram ambao kwa sasa unamilikiwa na kampuni ya Facebook ulianzishwa mwaka 2010 na waanzilishi Kevin Systrom na Mike Krieger, toka kipindi hicho mtandao wa Instagram umekuwa kwa kasi hadi kufikia mwaka 2012 ambapo Facebook ililipa dollar za marekani bilioni $1 kwaajili ya kununua mtandao huo. Baada ya Facebook kununua mtandao huo, mtandao wa […] More

Soma Zaidi Hapa : Waanzilishi wa Mtandao wa Instagram Waachana na Facebook