Nadhani ni wazi kuwa siku hizi simu janja au smartphone zimeshuka bei sana, hii inachangiwa na ongezeko la simu mpya zinazo ingia sokoni kila siku kitu ambacho kinafanya simu za zamani kidogo kushuka bei na kuuzwa bei nafuu. Kuliona hilo leo hapa Tanzania Tech tumewaletea list ya simu za bei nafuu ambazo zinauzwa chini ya […] More
Soma Zaidi Hapa : Dili : Simu za Bei Nafuu Kuanzia Tsh 250,000 Kushuka Chini