Jumamosi, 13 Oktoba 2018

FB Messenger Kuja na Njia ya Kurudisha Meseji Ulizo Kosea

kufata meseji fb messnger

Baada ya mtandao wa Facebook kuleta sehemu ya Delete For All kupitia App ya WhatsApp, hivi karibuni mtandao huo uko njiani kuleta sehemu mpya kupitia app yake ya Facebook Messenger itakayo kuwezesha kurudisha meseji uliyokosea kutuma. Kama ilivyo kwenye WhatsApp,  kupitia sehemu hiyo pia itakuruhusu kufuta meseji uliyokosea kutuma ambapo meseji hiyo itafutika kwa upande […] More

Soma Zaidi Hapa : FB Messenger Kuja na Njia ya Kurudisha Meseji Ulizo Kosea