Hayawi sasa yamekuwa, Kampuni ya Samsung hivi leo imefanya tamasha la uzinduzi wa simu yake mpya ya kwanza ya Samsung Galaxy A9 (2018) yenye uwezo wa kamera nne kwa nyuma. Simu hii ambayo ilikuwa kwenye tetesi siku chache zilizopita hivi leo imezinduliwa rasmi huko Kuala Lumpur nchini Malaysia. Simu hii inafanana kidogo kwa sifa na Galaxy A7 […] More
Soma Zaidi Hapa : Galaxy A9 (2018) Simu ya Kwanza Yenye Kamera 4 Kwa Nyuma