Mtandao wa Google+ ulianzishwa mwaka 2011 kama moja ya mtandao wa kijamii ambao unamilikiwa na kampuni ya Google, Mtandao huo ulikuwa na kuongezeka umaarufu kipindi cha mwanzoni wakati mtandao huo ulipo zinduliwa lakini kadri miaka ilivyozidi kwenda mtandao huo ulipoteza umaarufu kutokana na mitandao mingine ya kijamii kama Facebook kupata umaarufu. Kwa kipindi kirefu mtandao […] More
Soma Zaidi Hapa : Google Yatangaza Kusitisha Huduma za Tovuti ya Google+