Kampuni ya Nokia Hivi karibuni imezindua simu mpya ya Nokia 7.1 Plus simu ambayo nchini China inaitwa Nokia X7 (2018), kama wewe ni msomaji wa tovuti ya Tanzania Tech lazima unajua kuwa tayari Nokia ilishazindua simu mpya ya Nokia 7.1 siku kadhaa zilizopita. Sasa toleo hili ni toleo la maboresho ya simu hiyo ya Nokia […] More
Soma Zaidi Hapa : Kampuni ya Nokia Yazindua Simu Mpya ya Nokia X7 (2018)