Miezi michache iliyopita mtandao wa instagram ulikuwa ukifanya majaribio ya sehemu ya Nametags, sehemu ambayo inakupa uwezo wa kumfollow mtu kwa urahisi kwa kutumia mfumo kama wa QR Code. Baada ya majaribio ya muda mrefu hatimaye sehemu hiyo tayari imeanza kuwafikia watumiaji wa mtandao huo kupitia App za Android na iOS. Kupitia sehemu hiyo ya […] More
Soma Zaidi Hapa : Mtandao wa Instagram Waleta Rasmi Sehemu ya Nametags