Kampuni ya Nokia kupitia HMD Global hivi leo imefanya tamasha lake la uzinduzi rasmi wa simu yake mpya ya Nokia 7.1, Simu hii ni toleo jipya la simu ya Nokia 7 ambayo ilizinduliwa rasmi mwezi october mwaka jana 2017. Simu hii mpya ya Nokia 7.1 inakuja na maboresho na muonekano bora zaidi huku ikiwa na […] More
Soma Zaidi Hapa : Zijue kwa Undani Hizi Hapa Ndio Sifa na Bei ya Nokia 7.1