Jumanne, 13 Novemba 2018

Kuanzia Leo Tuma Stickers Kwa Kutumia WhatsApp

Baada ya kusubiriwa kwa muda mrefu hapa Tanzania hatimaye hivi leo sehemu mpya ya Stikers ndani ya WhatsApp imewezeshwa rasmi, hivyo basi kuanzia leo utaweza kutuma stickers moja kwa moja kupitia App ya WhatsApp. Mbali na kuwa na uwezo wa kutuma stika pia kupia maujanja mbalimbali sasa utakuwa na uwezo wa kubadilisha baadhi ya picha […] More

Soma Zaidi Hapa : Kuanzia Leo Tuma Stickers Kwa Kutumia WhatsApp