Kampuni ya Samsung inaendelea na jitihada za kupambana na kampuni kama Tecno na Infinix kwa kuja na simu za bei nafuu ambazo zinaweza kutumiwa na wananchi wa hali ya chini, Sasa katika kufanya jitihada hizo, kampuni ya Samsung imetangaza kuja na simu yake ya pili inayo tumia mfumo wa Android Go, mfumo wa Android ambao umetengenezwa maalum […] More
Soma Zaidi Hapa : Samsung Yazindua Galaxy J4 Core Simu Mpya Yenye Android Go