Ikiwa bado hapa kwetu Tanzania tunajitahidi kukimbizana na teknolojia kwa kuanza kutengeneza simu, huko nchini China wao wanazidi kukuwa kiteknolojia kila siku kwa kuwa wakwanza kuanzisha teknolojia mpya mbalimbali. Kuthibitisha hayo hivi karibuni kampuni moja Royal ya nchini China imetangaza kuingiza sokoni simu mpya inayoitwa FlexPai ambayo itakuwa ni simu ya kwanza ya namna hii […] More
Soma Zaidi Hapa : Video : FlexPai Simu ya Kwanza Inayojikunja Imeingia Sokoni