Jumamosi, 3 Novemba 2018

WhatsApp Kuja na Njia ya Kuzuia Mtu Kusoma Meseji Zako

kuzuia kusoma meseji wahtwaspp

Kwa muda mrefu imekuwa ni rahisi sana mtu kusoma meseji zako za WhatsApp hasa pale anapo fanikiwa kushika simu yako. WhatsApp imekuwa ikipokea malalamiko ya aina hii kwa muda mrefu na sasa inajiandaa kuja na suluhisho. Hivi karibuni watumiaji wa WhatsApp wataweza kuona sehemu mpya ya Touch ID, sehemu hii itakuwa inaruhusu watumiaji wa simu […] More

Soma Zaidi Hapa : WhatsApp Kuja na Njia ya Kuzuia Mtu Kusoma Meseji Zako