Kampuni ya Nokia ambayo inasimamiwa na kampuni ya HMD Global, hivi leo inatarajia kuja na simu zake mpya za Nokia 8.1, Nokia 3.1 Plus na Nokia 5.1 Plus. Simu hizi mpya zinatarajiwa kuzinduliwa rasmi huko nchini Dubai huku Nokia 3.1 Plus na Nokia 5.1 Plus zikitarajiwa kwaajili ya soko la ulaya na Nokia 8.1 kwaajili […] More
Soma Zaidi Hapa : Kampuni ya Nokia Kuzindua Leo Simu Mpya ya Nokia 8.1