Ukweli ni kwamba teknolojia imekuwa sana kwa kipindi cha miaka 10 iliyopita hadi sasa, hapa nazungumzia kutokea mwaka 2009 hadi sasa mwaka 2019. Hi, karibu Tanzania Tech na kwa kuanza najua tayari umesha shirikia au pengine umesha fanikiwa kuona picha mbalimbali zikisambaa kwenye mitandao ya kijamii zikiwa na hashtag ya #10Yearschallenge. Sasa baada ya kuona […] More
Soma Zaidi Hapa : 2009 Vs 2019 Mambo Mbalimbali ya Teknolojia #10Yearschallenge