Jumamosi, 26 Januari 2019

FB Messenger, WhatsApp na Instagram Kuunganishwa Pamoja

mitandao ya kijamii kuunganishwa

Hivi karibuni kumekuwa na ripoti kuhusu ku-unganishwa kwa mitandao ya kuchat ya Facebook Messenger, WhatsApp pamoja na Instagram. Kwa mujibu wa ripoti kutoka GSMArena, muungano huo unategemewa kukamilika mwishoni mwa mwaka huu 2019, au mwanzoni mwa mwaka 2020. Hata hivyo inasemekana kuwa Apps zote za mitandao hiyo zitaendelea kufanya kazi kwa kujitegemea kama kawaida, lakini […] More

Soma Zaidi Hapa : FB Messenger, WhatsApp na Instagram Kuunganishwa Pamoja