Alhamisi, 3 Januari 2019

Hatimaye Apple Yakubali Mauzo ya iPhone Kushuka 2018

mauzo ya iphone kushuka

Hivi karibuni kupitia mitandao mbalimbali ilisimekana kuwa kampuni ya Apple imepata hasara kutokana na kushuka kwa mauzo ya simu zake kwa mwaka uliopita, toka mwaka 2018 habari hizi zilipo anza kusamba hakuna ripoti yoyote iliyowahi kutolewa na kampuni ya Apple kuonyesha kukubali kuwa mauzo ya simu za iPhone yameshuka. Hatimaye hapo jana kampuni ya Apple […] More

Soma Zaidi Hapa : Hatimaye Apple Yakubali Mauzo ya iPhone Kushuka 2018