Alhamisi, 10 Januari 2019

Instagram Kuruhusu Kupost Mara Moja Kwenye Akaunti Zako Zote

Mtandao wa Instagram unategemea kuleta mabadiliko mapya hivi karibuni, mabadiliko ambayo yatakuwa yanarahisha zaidi utumiaji wa mtandao huo, hasa kwa wale watu wenye akaunti zaidi ya moja za mtandao huo. Kwa mujibu wa tovuti ya TechCrunch, sehemu hii mpya itaruhusu watumiaji wa instagram wenye akaunti zaidi ya moja, kuweza kupost post moja kwenye akaunti zao […] More

Soma Zaidi Hapa : Instagram Kuruhusu Kupost Mara Moja Kwenye Akaunti Zako Zote