Kwa mujibu wa habari kutoka tovuti ya The Citizen, Tigo iko mbioni kumiliki mtandao wa Zantel kutokana na kampuni hiyo kumiliki asilimia kubwa za hisa za kampuni ya Zantel. Kwa mujibu wa The Citizen, Karibu miaka mitatu na miezi sita tangu Millicom International Cellular (Mic) au Tigo ilipata asilimia 85 ya sehemu ya mtandao wa Zanzibar […] More
Soma Zaidi Hapa : Kampuni ya Tigo Mbioni Kumiliki Mtandao wa Simu wa Zantel