Hivi karibuni kumekuwa na mtindo wa kusambaa kwa habari zisizo za ukweli kupitia app ya WhatsApp, habari hizo zimekuwa zikisambaa kwa urahisi sana kwa kutumia sehemu ya Forward inayopatikana ndani ya programu ya WhatsApp. Sasa kuliona hilo hivi karibuni whatsapp imekuja na sheria mpya ya kuzuia idadi ya meseji unazoweza ku-forward ndani ya programu hiyo. […] More
Soma Zaidi Hapa : Sasa Kupitia WhatsApp Unaweza Ku-Forward Meseji Tano tu