Habari kutoka tovuti ya gazeti la kila siku la mwananchi zinasema kuwa, Kampuni ya Bharti Airtel imekubali kuongeza hisa zinazomilikiwa na Serikali ya Tanzania katika kampuni ya Airtel Tanzania kutoka asilimia 40 hadi kufikia asilimia 49. kwa mujibu wa mwananchi, inasemekana kuwa taarifa ya makubaliano hayo imetoleo leo na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Gerson […] More
Soma Zaidi Hapa : Tanzania Kumiliki Asilimia 49 ya Hisa za Airtel Tanzania