Wakati macho yote yakiwa kwenye mkutano wa MWC 2019, Huku duniani kampuni ya Samsung inaendelea na harakati zake kama kawaida. Hivi karibuni kampuni hiyo imetambulisha simu zake mpya za daraja la kati kama ilivyo semekana kwenye tetesi wiki iliyopita, Galaxy A50 na Galaxy A30 ndio majina ya simu hizo mpya ambazo zinasemekana eti!! kuwa za […] More
Soma Zaidi Hapa : Hizi Hapa Sifa na Bei ya Samsung Galaxy A50 na Galaxy A30