Jumatatu, 25 Februari 2019

Nokia Yazindua Simu Mpya za Nokia 3.2, 4.2 na Nokia 1 Plus

Mkutano wa MWC 2019 bado unaendelea huko nchini Barcelona ambapo kampuni mbalimbali zipo tayari kuonyesha bidhaa zake mpya. Moja ya kampuni ambayo tayari imeonyesha bidhaa zake ni pamoja na kampuni ya Nokia ambayo inaendeshwa na kampuni ya HMD Global. Hivi karibuni kampuni hiyo ilizindua rasmi simu mpya ya Nokia 9 Pureview, simu ya kwanza kutoka […] More

Soma Zaidi Hapa : Nokia Yazindua Simu Mpya za Nokia 3.2, 4.2 na Nokia 1 Plus