Boomplay ni app nambari moja kwa huduma ya kusikiliza na kupakua muziki barani Afrika, inasherehekea Siku Ya Wanawake Duniani 2019 ikiwa na kampeni mpya ya “Boom Queens”. Vanessa Mdee, Rihanna, Tiwa Savage, Fena Gitu na wengine wengi, ni miongoni mwa wanawake wenye vipaji ambao wameendelea kubadilisha tasnia ya muziki duniani. App ya Boomplay itakuwa na […] More
Soma Zaidi Hapa : Boomplay Inasherekea Siku ya Wanawake na Wanamuziki wa Kike