Alhamisi, 7 Machi 2019

Hili Hapa ndio Gari la Gharama Kubwa Zaidi Duniani (2019)

Hili Hapa ndio Gari la Gharama Kubwa Zaidi Duniani (2019)

Kampuni ya kutengeneza magari ya nchini Ufaransa Bugatti, hapo siku ya jana imeonyesha gari lake jipya la bei ghali zaidi au la gharama kubwa kuliko yote duniani hadi sasa, Bugatti La Voiture Noir ndio gari la gharama kubwa hadi sasa mwaka 2019. Gari hilo ambalo tayari limesha nunuliwa na mtu ambaye hakutajwa jina, linasemekana kuuzwa […] More

Soma Zaidi Hapa : Hili Hapa ndio Gari la Gharama Kubwa Zaidi Duniani (2019)