Kwa wapenzi wa simu zenye kamera nzuri mwaka huu 2019 ni mwaka wa kukaa kwa kusubiri kwa hamu kwani tegemea kuona au kumiliki simu mpya zenye kamera za Megapixel 64 au Megapixel 100.Kwa mujibu wa ripoti kutoka GSMArena, Mkurugenzi mtendaji wa usimamizi wa bidhaa wa kampuni ya Qualcomm, Judd Heape alisema hayo alipokuwa akihojiwa kuhusu […] More
Soma Zaidi Hapa : Jiandae na Simu Zenye Kamera za Megapixel 64 na MP 100