Mtandao mkubwa Afrika unaotoa huduma za simu MTN, umekuja na huduma mpya itakayo wawezesha wateja wake kununua muda wa maongezi pamoja na kufanya mambo mbalimbali kupitia programu ya WhatsApp.Kwa mujibu wa tovuti ya Forbes, MTN imeanzisha huduma hiyo ambayo tayari imeshaanza kufanya kazi ya kuhudumia wateja wa mtandao huo wa nchini Afrika ya kusini. Kupitia […] More
Soma Zaidi Hapa : MTN Yaanzisha Huduma ya Kununua Salio Kupitia WhatsApp