Hapo siku ya Jumatano kuanzia mida ya saa mbili 8:00 PM kwa saa za afrika mashariki mitandao maarufu ya kijamii Instagram, Facebook na Facebook Messenger ilikuwa haipatikani hewani kutokana na mitandao hiyo kupitia hatua za marekebisho yaliyofanya baadhi ya watu kushindwa kabisa kutumia mitandao hiyo. Kwa hapa Tanzania, hali hii pia ilikwepo kwa baadhi ya […] More
Soma Zaidi Hapa : Sababu za Matatizo ya Instagram na Facebook Hapo Jana