Kampuni ya Samsung hivi leo imetangaza ujio wa simu yake mpya ya Galaxy A70, Simu hii inakuja na sifa nzuri sana ambazo hata simu ya Samsung Galaxy S10 na S10 Plus hazina. Hata hivyo simu hii inatarajiwa kuzinduliwa rasmi kabisa mwezi wa nne mwaka huu 2019.Pamoja na kuwa simu hiyo itazinduliwa rasmi mwezi wa nne, […] More
Soma Zaidi Hapa : Samsung Yazindua Simu Mpya ya Samsung Galaxy A70