Habari siku ya leo kutoka Tanzania, Wabunifu wa teknolojia kutoka hapa nchini wamekuja na mfumo mpya ambao unaweza kusaidia kwa kiwango kikubwa kuzuia wizi wa magari hasa hapa nchini Tanzania. Wakihojiwa kupitia millardayo, wabunifu hao ambao ni wakazi wa jijini Dar es salaam wamekuja na teknolojia hiyo ambayo itamuwezesha mtu kuzima na kuwasha gari lake […] More
Soma Zaidi Hapa : Ubunifu wa Kitanzania Teknolojia ya Kuzuia Wizi wa Magari