Kampuni ya Tecno hivi karibuni imezindua simu mpya za Tecno Spark 3 na Spark 3 Pro huko nchini Nigeria. Lakini kama hiyo haitoshi kampuni hiyo inajiandaa na ujio wa simu nyingine ya Tecno Camon ambayo inakuja na kamera tatu kwa nyuma.Kwa mujibu wa tovuti ya 91mobile, kwa sasa simu hiyo imesha zinduliwa rasmi huko nchini […] More
Soma Zaidi Hapa : Jiandae na Simu Mpya ya Tecno Camon Yenye Kamera Tatu