Jumatano, 17 Aprili 2019

Kampuni ya Samsung Yazindua Simu Mpya ya Galaxy A60

Kampuni ya Samsung Yazindua Simu Mpya ya Galaxy A60

Baada ya tetesi za ujio wa simu mpya ya Galaxy A60, hatimaye hivi leo kampuni ya Samsung imezindua rasmi simu hiyo huko nchini China. Kama ilivyo semekana kwenye tetesi Galaxy A60 inakuja na teknolojia ya kisasa pamoja na uwezo mkubwa wa kamera. Simu hii inakuja na kamera tatu kwa nyuma huku kamera moja ikiwa na […] More

Soma Zaidi Hapa : Kampuni ya Samsung Yazindua Simu Mpya ya Galaxy A60