Ijumaa, 12 Aprili 2019

Kampuni ya Xiaomi Kufungua Duka la Kwanza Afrika Mashariki

Kampuni ya Xiaomi Kufungua Duka la Kwanza Afrika Mashariki

Kampuni ya kutengeneza vifaa vya kieletroniki yenye makao yake makuu huko nchini China Xiaomi, hivi karibuni iltangaza kuja rasmi Afrika mashariki na kuanza rasmi kuuza bidhaa zake kwa mara ya kwanza. Kwa mujibu wa kampuni hiyo, hatimaye ahadi hiyo imetimia na Xiaomi imetangaza kufungua duka lake la kwanza hapa Afrika Mashariki. Kwa mujibu wa tweet […] More

Soma Zaidi Hapa : Kampuni ya Xiaomi Kufungua Duka la Kwanza Afrika Mashariki