Hivi karibuni kampuni ya Samsung ilitoa simu yake ya kwanza inayojikunja baada ya majaribio ya muda mrefu, Galaxy Fold ilitangazwa sambamba na simu za Galaxy S10 hapo mwezi February mwaka huu 2019 huku simu hizi zikitegemewa kupatikana baadae mwaka huu.Miezi miwili badae kampuni ya Samsung tayari imeanza kuchukua oda za kusambaza simu hizi huku bei […] More
Soma Zaidi Hapa : Simu za Kujikunja za Galaxy Fold Zinasemekana Kuwa na Tatizo