Jumanne, 30 Aprili 2019

Tigo Tanzania Yazindua Huduma kwa Wateja Kupitia WhatsApp

Tigo Tanzania Yazindua Huduma kwa Wateja Kupitia WhatsApp

Baada ya kampuni ya MTN ya nchini Afrika ya kusini kuanzisha huduma ya kununua salio kwa kutumia WhatsApp, hivi karibuni kampuni ya kutoa huduma za simu ya Tigo Tanzania nayo imekuja na huduma inayo fanana na hiyo. Kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa na Bi Mwangaza matotola ambaye ni mkuu wa kitengo cha huduma kwa wateja […] More

Soma Zaidi Hapa : Tigo Tanzania Yazindua Huduma kwa Wateja Kupitia WhatsApp